Ir para o conteúdo
Ayubu 28:25-27

Ayubu 28:25-27

25
Alipofanyiza nguvu za upepo na kuyapima maji,
26
alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua na njia kwa ajili ya umeme wa radi,
27
ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake, akaithibitisha na kuihakikisha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options