Skip to content
Ayubu 2:1-2

Ayubu 2:1-2

1
Siku nyingine wana wa Mungu walikuja kujionyesha mbele za Bwana. Shetani naye akaja pamoja nao kujionyesha mbele zake.
2
Bwana akamuuliza Shetani, “Umetoka wapi?” Shetani akamjibu Bwana “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembea huku na huko humo.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options