Skip to content
Ayubu 16:1-3

Ayubu 16:1-3

1
Kisha Ayubu akajibu:
2
“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
3
Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options