ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Ayubu 11:14-19

Ayubu 11:14-19

14
ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi mwako wala usiuruhusu uovu ukae hemani mwako,
15
ndipo utainua uso wako bila aibu; utasimama imara bila hofu.
16
Hakika utaisahau taabu yako, utaikumbuka tu kama maji yaliyokwisha kupita.
17
Maisha yako yatangʼaa kuliko adhuhuri, nalo giza litakuwa kama alfajiri.
18
Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini; utatazama pande zote na kupumzika kwa salama.
19
Utalala, wala hakuna atakayekuogofya, naam, wengi watajipendekeza kwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options