Skip to content
Ayubu 10:1-2

Ayubu 10:1-2

1
“Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
2
Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options