Skip to content
Yeremia 8:21-22

Yeremia 8:21-22

21
Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.
22
Je, hakuna zeri ya kuponya katika Gileadi? Je, hakuna tabibu huko? Kwa nini basi hakuna uponyaji wa majeraha ya watu wangu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options