Skip to content
Yeremia 8:18-21

Yeremia 8:18-21

18
Ee Mfariji wangu katika huzuni, moyo wangu umezimia ndani yangu.
19
Sikia kilio cha watu wangu kutoka nchi ya mbali: “Je, Bwana hayuko Sayuni? Je, Mfalme wake hayuko tena huko?” “Kwa nini wamenikasirisha kwa vinyago vyao, kwa sanamu zao za kigeni zisizofaa?”
20
“Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”
21
Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options