Skip to content
Yeremia 7:27-28

Yeremia 7:27-28

27
“Utakapowaambia haya yote, hawatakusikiliza; utakapowaita, hawatajibu.
28
Kwa hiyo waambie, ‘Hili ni taifa ambalo halimtii Bwana, Mungu wao, wala kukubali maonyo. Kweli imekufa, imetoweka midomoni mwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options