Skip to content
Yeremia 7:27-28

Yeremia 7:27-28

27
“Utakapowaambia haya yote, hawatakusikiliza; utakapowaita, hawatajibu.
28
Kwa hiyo waambie, ‘Hili ni taifa ambalo halimtii Bwana, Mungu wao, wala kukubali maonyo. Kweli imekufa, imetoweka midomoni mwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options