Skip to content
Yeremia 7:1-3

Yeremia 7:1-3

1
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana:
2
“Simama kwenye lango la nyumba ya Bwana, na huko upige mbiu ya ujumbe huu: “ ‘Sikieni neno la Bwana, enyi watu wote wa Yuda mliokuja kupitia malango haya ili kumwabudu Bwana.
3
Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Tengenezeni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaacha mkae mahali hapa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options