Skip to content
Yeremia 6:29-30

Yeremia 6:29-30

29
Mivuo inavuma kwa nguvu, kinachoungua kwa huo moto ni risasi, lakini pamoja na kusafisha kote huku ni bure; waovu hawaondolewi.
30
Wanaitwa fedha iliyokataliwa, kwa sababu Bwana amewakataa.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options