Skip to content
Yeremia 51:37-38

Yeremia 51:37-38

37
Babeli utakuwa lundo la magofu na makao ya mbweha, kitu cha kutisha na kudharauliwa, mahali asipoishi mtu.
38
Watu wake wote wananguruma kama simba wadogo, wanakoroma kama wana simba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options