Skip to content
Yeremia 46:7-8

Yeremia 46:7-8

7
“Ni nani huyu ajiinuaye kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi?
8
Misri hujiinua kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi. Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia, nitaiangamiza miji na watu wake.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options