Skip to content
Yeremia 46:7-8

Yeremia 46:7-8

7
“Ni nani huyu ajiinuaye kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi?
8
Misri hujiinua kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi. Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia, nitaiangamiza miji na watu wake.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options