Skip to content
Yeremia 42:16-17

Yeremia 42:16-17

16
basi ule upanga mnaouogopa utawapata huko, na njaa mnayoihofia itawafuata huko Misri, nanyi mtafia huko.
17
Naam, wote waliokusudia kwenda kuishi Misri watakufa kwa upanga, njaa na tauni; hakuna hata mmoja wao atakayenusurika au kuokoka maafa nitakayoyaleta juu yao.’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options