உள்ளடக்கத்திற்குச் செல்க
Yeremia 37:14-15

Yeremia 37:14-15

14
Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.
15
Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options