Skip to content
Yeremia 36:4-5

Yeremia 36:4-5

4
Hivyo Yeremia akamwita Baruku mwana wa Neria, naye Yeremia alipokuwa akiyakariri maneno yote aliyoyasema Bwana, Baruku akayaandika katika kitabu.
5
Kisha Yeremia akamwambia Baruku, “Nimezuiliwa, mimi siwezi kuingia katika Hekalu la Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options