Skip to content
Yeremia 32:37-38

Yeremia 32:37-38

37
Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.
38
Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options