Skip to content
Yeremia 31:29-30

Yeremia 31:29-30

29
“Katika siku hizo, watu hawatasema tena, “ ‘Baba wamekula zabibu chachu, nayo meno ya watoto yakatiwa ganzi.’
30
Badala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe; yeyote alaye zabibu chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options