Skip to content
Yeremia 30:1-3

Yeremia 30:1-3

1
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana:
2
“Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe.
3
Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema Bwana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options