Skip to content
Yeremia 30:1-4

Yeremia 30:1-4

1
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana:
2
“Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe.
3
Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema Bwana.”
4
Haya ndiyo maneno Bwana aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options