Skip to content
Yeremia 28:8-9

Yeremia 28:8-9

8
Tangu mwanzo, manabii waliokutangulia wewe na mimi walitabiri vita, maafa na tauni dhidi ya nchi nyingi na falme kubwa.
9
Lakini nabii atakayetabiri amani atatambuliwa kuwa kweli ametumwa na Bwana ikiwa unabii wake utatimia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options