Skip to content
Yeremia 28:16-17

Yeremia 28:16-17

16
Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Bwana: ‘Hivi karibuni nitakuondoa kutoka juu ya uso wa dunia. Mwaka huu utakufa, kwa sababu umetangaza uasi dhidi ya Bwana.’ ”
17
Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options