Skip to content
Yeremia 27:2-3

Yeremia 27:2-3

2
Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Tengeneza nira, ujivike shingoni mwako, uifunge kwa kamba za ngozi.
3
Kisha utume ujumbe kwa wafalme wa Edomu, Moabu, Amoni, Tiro na Sidoni kupitia wajumbe ambao wamekuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options