Skip to content
Yeremia 22:8-9

Yeremia 22:8-9

8
“Watu kutoka mataifa mengi watapitia karibu na mji huu na kuulizana, ‘Kwa nini Bwana amefanya jambo la namna hii juu ya mji huu mkubwa?’
9
Nalo jibu litakuwa: ‘Kwa sababu wameliacha agano la Bwana, Mungu wao, na wameabudu na kuitumikia miungu mingine.’ ”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options