Yeremia 22:11-12
11
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana kuhusu Shalumu mwana wa Yosia, aliyeingia mahali pa baba yake kuwa mfalme wa Yuda, lakini ameondoka mahali hapa: “Yeye kamwe hatarudi tena.
12
Atafia huko mahali walipompeleka kuwa mateka; hataiona tena nchi hii.”