Skip to content
Yeremia 20:1-2

Yeremia 20:1-2

1
Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri, mkuu wa maafisa wa Hekalu la Bwana, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu ya mambo haya,
2
akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options