Skip to content
Yeremia 2:36-37

Yeremia 2:36-37

36
Kwa nini unatangatanga sana, kubadili njia zako? Utakatishwa tamaa na Misri kama ulivyokatishwa na Ashuru.
37
Pia utaondoka mahali hapo ukiwa umeweka mikono kichwani, kwa kuwa Bwana amewakataa wale unaowatumainia; hutasaidiwa nao.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options