Skip to content
Yeremia 19:10-11

Yeremia 19:10-11

10
“Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,
11
uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options