Skip to content
Yeremia 18:7-8

Yeremia 18:7-8

7
Ikiwa wakati wowote nikitangaza kuwa taifa au ufalme utangʼolewa, utaangushwa na kuangamizwa,
8
ikiwa lile taifa nililolionya litatubia uovu wake, ndipo nitakapokuwa na huruma, wala sitawapiga kwa maafa niliyokuwa nimewakusudia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options