Skip to content
Yeremia 17:9-10

Yeremia 17:9-10

9
Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote, ni mwovu kupita kiasi. Ni nani awezaye kuujua?
10
“Mimi Bwana huchunguza moyo na kuzijaribu nia, ili kumlipa mtu kwa kadiri ya mwenendo wake, kwa kadiri ya matendo yake yanavyostahili.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options