Skip to content
Yeremia 17:1-2

Yeremia 17:1-2

1
“Dhambi ya Yuda imechorwa kwa kalamu ya chuma, imeandikwa kwa ncha ya almasi, kwenye vibao vya mioyo yao na kwenye pembe za madhabahu zao.
2
Hata watoto wao wanakumbuka madhabahu zao na nguzo za Ashera, kandokando ya miti iliyotanda na juu ya vilima virefu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options