Skip to content
Yeremia 16:19-21

Yeremia 16:19-21

19
Ee Bwana, nguvu zangu na ngome yangu, kimbilio langu wakati wa taabu, kwako mataifa yatakujia kutoka miisho ya dunia na kusema, “Baba zetu hawakuwa na chochote zaidi ya miungu ya uongo, sanamu zisizofaa kitu ambazo hazikuwafaidia lolote.
20
Je, watu hujitengenezea miungu yao wenyewe? Naam, lakini hao si miungu!”
21
“Kwa hiyo nitawafundisha: wakati huu nitawafundisha nguvu zangu na uwezo wangu. Ndipo watakapojua kuwa Jina langu ndimi Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options