Yeremia 16:8-9
8
“Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.
9
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli: ‘Mbele ya macho yako na katika siku zako, nitakomesha sauti zote za shangwe na za furaha, na pia sauti za bibi arusi na bwana arusi mahali hapa.’
Settings