Skip to content
Yeremia 16:8-9

Yeremia 16:8-9

8
“Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.
9
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli: ‘Mbele ya macho yako na katika siku zako, nitakomesha sauti zote za shangwe na za furaha, na pia sauti za bibi arusi na bwana arusi mahali hapa.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options