Yeremia 16:1-3
1
Kisha neno la Bwana likanijia:
2
“Kamwe usioe na kuwa na wana wala binti mahali hapa.”
3
Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana kuhusu wana na binti wazaliwao katika nchi hii, na kuhusu wale wanawake ambao ni mama zao, na wale wanaume ambao ni baba zao: