Skip to content
Yeremia 12:7-8

Yeremia 12:7-8

7
“Nitaiacha nyumba yangu, nitupe urithi wangu; nitamtia yeye nimpendaye mikononi mwa adui zake.
8
Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba wa msituni. Huningurumia mimi, kwa hiyo ninamchukia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options