Skip to content
Yeremia 10:23-24

Yeremia 10:23-24

23
Ninajua, Ee Bwana, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe; hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe.
24
Unirudi, Ee Bwana, lakini kwa kipimo cha haki: si katika hasira yako, usije ukaniangamiza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options