Skip to content
Yeremia 10:2-3

Yeremia 10:2-3

2
Hili ndilo asemalo Bwana: “Usijifunze njia za mataifa wala usitishwe na ishara katika anga, ingawa mataifa yanatishwa nazo.
3
Kwa maana desturi za mataifa hazina maana, wanakata mti msituni, na fundi anauchonga kwa patasi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options