Yeremia 10:1-3
1
Sikieni lile ambalo Bwana, anena nanyi ee nyumba ya Israeli.
2
Hili ndilo asemalo Bwana: “Usijifunze njia za mataifa wala usitishwe na ishara katika anga, ingawa mataifa yanatishwa nazo.
3
Kwa maana desturi za mataifa hazina maana, wanakata mti msituni, na fundi anauchonga kwa patasi.