Skip to content
Yeremia 1:6-9

Yeremia 1:6-9

6
Nami nikasema, “Aa, Bwana Mwenyezi, sijui kusema, kwani mimi ni mtoto mdogo tu.”
7
Lakini Bwana akaniambia, “Usiseme, ‘Mimi ni mtoto mdogo tu.’ Utaenda popote nitakapokutuma na kunena lolote nitakalokuagiza.
8
Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema Bwana.
9
Kisha Bwana akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu, akaniambia, “Sasa nimeyaweka maneno yangu kinywani mwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options