Skip to content
Yeremia 1:11-12

Yeremia 1:11-12

11
Neno la Bwana likanijia kusema, “Je, Yeremia unaona nini?” Nami nikajibu, “Naona tawi la mti wa mlozi.”
12
Bwana akaniambia, “Umeona vyema kwa maana ninaliangalia neno langu ili kuona kwamba limetimizwa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options