Skip to content
Yakobo 5:5-6

Yakobo 5:5-6

5
Mmeishi duniani kwa anasa na kwa starehe, mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.
6
Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options