Skip to content
Yakobo 5:4-6

Yakobo 5:4-6

4
Angalieni! Ule ujira wa vibarua waliolima mashamba yenu mliouzuia kwa hila unapiga kelele dhidi yenu na vilio vya wavunaji vimefika masikioni mwa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
5
Mmeishi duniani kwa anasa na kwa starehe, mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.
6
Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options