Skip to content
Yakobo 4:8-10

Yakobo 4:8-10

8
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu ninyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu ninyi wenye nia mbili.
9
Huzunikeni, ombolezeni na kulia. Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa huzuni.
10
Jinyenyekezeni mbele za Bwana, naye atawainua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options