Skip to content
Yakobo 4:7-8

Yakobo 4:7-8

7
Basi mtiini Mungu. Mpingeni ibilisi, naye atawakimbia.
8
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu ninyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu ninyi wenye nia mbili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options