Skip to content
Yakobo 3:9-10

Yakobo 3:9-10

9
Kwa ulimi tunamhimidi Bwana, yaani Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu walioumbwa kwa mfano wa Mungu.
10
Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haistahili kuwa hivyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options