Skip to content
Yakobo 3:3-4

Yakobo 3:3-4

3
Tunapotia lijamu kwenye vinywa vya farasi ili kuwafanya watutii, tunaweza kuigeuza miili yao yote.
4
Au angalia pia meli, ingawa ni kubwa sana, nazo huchukuliwa na upepo mkali, lakini hugeuzwa kwa usukani mdogo sana, kokote anakotaka nahodha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options