Skip to content
Yakobo 2:15-16

Yakobo 2:15-16

15
Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,
16
mmoja wenu akamwambia, “Enenda zako kwa amani, ukaote moto na kushiba,” pasipo kumpatia yale mahitaji ya mwili aliyopungukiwa, yafaa nini?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options