Skip to content
Isaya 7:10-12

Isaya 7:10-12

10
Bwana akasema na Ahazi tena,
11
“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.”
12
Lakini Ahazi akasema, “Sitaomba; sitamjaribu Bwana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options