Skip to content
Isaya 59:1-2

Isaya 59:1-2

1
Hakika mkono wa Bwana si mfupi hata usiweze kuokoa, wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia.
2
Lakini maovu yenu yamewatenga ninyi na Mungu wenu, dhambi zenu zimewaficha ninyi uso wake, ili asisikie.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options