Skip to content
Isaya 50:5-6

Isaya 50:5-6

5
Bwana Mwenyezi amezibua masikio yangu, nami sikuwa mwasi, wala sikurudi nyuma.
6
Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao, mashavu yangu wale wangʼoao ndevu zangu; sikuuficha uso wangu kutokana na fedheha na kutemewa mate.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options