Skip to content
Isaya 47:2-3

Isaya 47:2-3

2
Chukua mawe ya kusagia, usage unga, vua shela yako. Pandisha mavazi yako, ondoa viatu vyako, vuka vijito kwa shida.
3
Uchi wako utafunuliwa na aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; sitamhurumia hata mmoja.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options